Wednesday, 5 August 2015

Sherehe za Maadhimisho ya Somo wa Kwaya 26.07.2015



Wanakwaya Wakileta kwa Mgeni Rasmi Vazi Rasmi kwa shangwe ili lizinduliwe 


Vazi Rasmi kwa Upande wa Akina mama likioneshwa ambalo ni gauni la kikoti  chake


Shati kwa Upende wa akina Baba nalo laoneshwa 




Suruali nayo yaoneshwa ambayo ina rangi ya Ugoro ambayo ni inatambulisha Wakarmeli


Baba Mlezi Pd. Dominick akijaribisha shati ambapo imetawala rangi ya blue inamtambulisha Bikira Maria



Mgeni Rasmi Mr. Mushi, Mwenyekiti wa Kwaya na Pd. Dominick wakifurahia uzuri wa Vazi na kupata picha ya Pamoja.



Mr. Mushi akikaribia kusema neno baada kuona Uzuri wa Vazi na jinsi Pd. Dominick lilivyompendeza.



Pd. Donimick akionesha Fedha za Kigeni( Suisse Franken) alizopokea kutoka kwa Mr. Mushi hapo juu, Baada Kufurahia uzuri wa vazi na kuamua kumnunulia.




Mzee Ndimbo na Flora wakijadili jambo katika kuandaa sherehe ya Somo wa Kwaya

Marafiki wa Kwaya katika sherehe ya Somo wa Kwaya


Marafiki wa Kwaya na Walezi wakifuatilia matukio katika sherehe.

Wanakwaya wakifurahia kwa kucheza

Viongozi wa Kwaya, Mgeni Rasmi pamoja na Pd. Dominick wakiingia ukumbini.

Mwenyekiti akiwaongoza Mgeni Rasmi na Padre kuelekea Meza Kuu. 

Mgeni Rasmi, Padre na Mwenyekiti wakiwa Meza Kuu.

Padre Dominick akifungua Sherehe kwa kujikabidhi kwa Mungu.

Dj. William Yohana katika Ubora wake katika kazi hiyo pamoja na Organist Christopher Mark.

Mwenyekiti Bw. Luambano P, akitoa neno la Ukaribisho

Wanakwaya wakifuatilia matukio kwa makini kabisa

Mpiga Ngoma Laurent katika Ubora wake katika kipaji chake.





Mwenyekiti akisoma Risala kwa Mgeni Rasmi.























Mgeni Rasmi akitoa Neno la Hamasa.



Aleluya Kuu

Jesus Christ Your My Life