Wanakwaya wa BMMK -Bunju Wakiwa wanaliturujisha kwa nyimbo nzuri na zenye tafakari katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Mkesha wa Mwaka Mypa 2015. |
Mcheza Kinanda wa Kwaya BMMK -Bunju Bw. Christopher Mark akiwajibika katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Mkesha wa Mwaka Mpya wa 2015. |
Mpiga Ngoma wa Kwaya ya BMMK -Bunju naye Akiwajibika Kunogesha/ Kupendezesha Uimbaji katika Admimisho la Misa Takatifu ya Mkesha wa Mwaka Mpya 2015. |
No comments:
Post a Comment